analogy

n analojia: hali au tabia ya kitu kufuata mkondo au sura ya kitu kingine kilichotangulia. analogize vi linganisha kwa kufananisha. analogical adj -a mfanano; -a ulinganifu. analogous adj -a kulingana, -a kufanana, -a kushabihiana. analogous conditions n hali zinazofanana. analogue n kifanani: kitu kinachofanana na kitu kingine (ingawa si cha asili moja nacho) mshabaha.