anaesthesia

n 1 (med) unusukaputi: hali ya kutokuwa na hisia; ganzi (za maumivu, baridi). 2 (chem) (general) ~ nusukaputi local ~ ganzi. anasthetic n nusukaputi, ganzi; tawi la kemia lishughulikalo na dutu zenye kutoa unusukaputi. anaestetist n (med) mtaalamu wa unusukaputi. anaesthetize vt. (med) tia nusukaputi, tia ganzi.