amphibia

n (zoo) amfibia: ngeli ya wanyama wanaoweza kuishi nchi kavu na majini pia. amphibian n 1 (zoo) amfibia: mnyama anayeishi nchi kavu na majini. 2 (aircraft) ndege inayoweza kutua nchi kavu na majini. 3 (mech) gari linaloweza kutembea nchi kavu na majini. amphibious adj -a kiamfibia. amphibiology n amfibiolojia: taaluma ya elimuwanyama inayoshughulikia amfibia.