alarm

n 1 kamsa, king'ora; onyo la hatari; yowe. raise the ~ piga mayowe/king'ora, hadharisha. 2 hofu, wasiwasi (iliyoletwa kwa hatari iliyokaribu), mshituko wa hofu. ~ vt shitua, kamsisha; ogofya be ~ed at something ogopa; shtuka, ~ clock n saa ya kengele. alarming adj -a kutia hofu, -a kutisha, -a kuogogofya. alarmist n mvumishaji (wa mambo ya kutisha).