n 1 hewa; upepo. in the ~ -sio na hakika,
-vumayo; hewani. clear the ~ safisha hewa (fig) ondoa mashaka (kwa kusema
ukweli). 2 by ~ kwa ndege. 3 (radio)on the ~ redioni, (sikika)
hewani. 4 upepo mwanana 5 umbo, mandhari has an ~ ofimportance onekana kuwa
mtu maarufu (usu pl). giveoneself/put on ~s jidai, jitwaza, jifanya
mtu wa maana, ringa. vt 1 anika, kausha. 2 achia hewa ipite. 3 toa (mawazo n.k.). airingn 1 kuanika give an ~ing anika kitu. 2 kupunga hewa go for an ~ing
punga hewa. airlessadj -enye fukuto, bila hewa, kutokuwepo upepo kabisa. airyadj 1 -enye wingi wa hewa. 2 (trifling) -epesi.