administer

vt 1 tawala, simamia, endesha. 2 toa, lisha ~ an oath to lisha kiapo, apisha ~ punishment toa adhabu, adhibu, tia adabu. administration n 1 utawala; himaya; uendeshaji; usimamiaji administration of justice utoaji wa haki. 2 sehemu ya uendeshaji katika serikali. administrative adj. administrator n msimamizi, mtawala, kabidhiwasii.