1n hesabu; akaunti. current ~n
akaunti ya hundi. savings ~n akaunti ya akiba. deposit ~n
akaunti ya amana. final ~n hesabu za mwisho. accountancyn uhasibu. accountantn mhasibu.
account
2vi 1 fikiria He is ~edinnocent untilhe is proved guilty anafikiriwa kuwa hana hatia mpaka atakapotiwa hatiani. 2 eleza sababu ya. 3 -wa sababu ya angamizo, teka. accountableadj -enye kuwajibika, -enye kuhusika. accountabilityn 1 mkokotoo manufaa.
2 put something to good ~ tumia kitu kwa manufaa. 3 maelezo. call somebody to ~
taka mtu ajieleze. 4 (phr) give a good ~ fanya vizuri. 5 (phr)take something into ~ zingatia sababu. 6 on ~ of kwa sababu ya.