accord

accord

1 n 1 makubaliano, maafikiano.2 mkataba. 3 uwiano. 4 (phr) of her own ~ kwa hiari yake, bila kulazimishwa.

accord

2 vi 1 (with) patana (na), lingana (na); kubaliana (na) vt (formal) jalia, pa, toa ~ permission toa ruhusa, -pa ruhusa ~ a warm welcome karibisha kwa shangwe. accordance n kukubaliana in ~ance with kwa mujibu wa, kwa kufuatana na. accordant adj -enye kupatana kulingana na. according (conj) you will be paid ~ing as you work hard or poorly: utalipwa kwa kadiri ya utendaji kazi wako. according (prep) he will be paid ~ing to his work atalipwa kufuatana na kazi yake. accordingly adv.