accessary

n msaidizi, mshiriki, hasa katika jinai. accession n 1 kupata au kupanda cheo. 2 (increase) nyongeza recent ~ to the library nyongeza za karibuni za vitabu vya maktaba. accessory n 1 see accessary 2 n kifuasi, kitu cha ziada accessories of a bicycle vifuasi vya baiskeli k.m. taa, kengele, pampu.