abandon

vt 1 (desert) tupa; toka katika gea; telekeza; jitenga na ~ wife and children; acha, tupa, telekeza mke na watoto. 2 (give up) acha ~ rights/a property acha haki/mali. 3 (phr) ~ hope kata tamaa. 4 (phr) ~ oneself to something jiachia kabisa k.m. huzuni, furaha, dhambi, tamaa n hali ya kutojizuia, kujisahau, kujiachia they danced with ~ walicheza wakaji-jisahau. abandoned adj 1 (deserted) -lioachwa, -liotupwa, -liotelekezwa, -kiwa an ed village kijiji kilichotelekezwa, mahame, tongo. 2 (profligate) -ovu, -potovu, fisadi, -asherati. abandonment n 1 tendo/hali ya kutupa/kutupwa, kuacha kuachwa; tendo/hali ya ufisadi. 2 (carelessness) ulegevu, uzembe. 3 (complete surrender) see abandon.