a/an

indef art 1 -o ote, fulani, moja k.m. buy a book nunua kitabu (chochote). 2 (a certain one) mmoja, yeyote mmojawapo there is a man to see you kuna mtu anataka kuonana nawe a Mr. Juma Bwana mmoja aitwaye Juma ("an" hutumika badala ya "a" kwa majina yanayoanza na irabu k.m. an egg yai moja twenty miles an hour maili ishirini kwa saa).