a,a

1 herufi ya kwanza ya alfabeti ya Kiingereza. 2 barabara; tangu mwanzo hadi mwisho he knows the subject from A to Z analijua hilo somo barabara adj 1 (naut) -a daraja la kwanza. 2 (colloq) zuri sana I am feeling an A 1 najisikia vizuri sana. 3 -a daraja la juu this essay is ~ material insha hii ni ya daraja la juu.